Nahitaji mume aliye serious na maisha

Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.

Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
kwa mfano wakaja serious 6 utafanyaje..ama mchujo utaanza
 
Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.

Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
wewe uko serious ukiwa wapi tukutane AM
 
Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.

Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Ungekuwa na mtoto ningekuja PM, sitaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Ungekuwa na mtoto ningekuja PM, sitaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Ningekujibu lakini Mungu akusamehe bure yawezekana haujuwi ulitendalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…