kwa mfano wakaja serious 6 utafanyaje..ama mchujo utaanzaHello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.
Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
wewe uko serious ukiwa wapi tukutane AMHello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.
Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Miongoni mwa majukumu ya awali pia ni mume kumfurahisha mke. Cheers 🍻Umenifanya nicheke haki sio kwa maneno hayo mweee [emoji23][emoji23]
Yeah si unajua Mungu alituumba mtu mume na mtu mke au biblia huwa hausomi?😅Kwahiyo ushakuwa mume tayari [emoji12][emoji12][emoji12] unavituko wewe [emoji23][emoji23]
👊[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Sio kweliHapo mtanisamehe kidogo siunajua mkiwa dini tofauti inavosumbua Kaka hasa ndg zetu Islamic wanasheria ngumu
Nimekupm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12]
Ungekuwa na mtoto ningekuja PM, sitaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia.Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.
Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Njoo pm wangu kuna ujumbe wako.Ningekujibu lakini Mungu akusamehe bure yawezekana haujuwi ulitendalo.