Nahitaji Mume

Nina kigezo as am Prof.. tatizo wanawake wa kichaga hawana chura kbsaa...
 
SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu

SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
mtoa mada mbona huna sifa ya mwaminifu? veeeeper[emoji23] alafu wataka mwaminifu veeeper
 
Suala la mke/mume bora si jambo rahisi;tafuta uliosoma nao au watu wako wa karibu jaribu kuwawekea mazingira ya uwekezaji
 
Ila sifa za mabinti wa kichaga huwa hawana Wezere wezere
 
Mbona hilo neno hujalimalizia? Unaweza usipte jibu
Mishajibiwa pm mkuu, hapa wenye wivu wajielekeze kibla tu.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Unataka mume uolewe.. Kigezo cha umri kinatosha.
Ndio maana mnaozea nyumbani kutwa kushona chupi tu.
 
Mangi ya rombo iko hapa 42 year, kama unajijua ni murembo ingia watsup 0625588153
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…