Npo hapaNiliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja kunijaribu tu basi, aliyeserious ndiyo namuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wengi humu wanaotafuta waume wanasura nzito ndio maana wanaogopwa uko mtaani kwaobila kuona sura ni uongoooooo
Toa ki pussy hicho fala wwSweetheart hakuna kitu huku..
Nimecheka kaa fala eti ni hotel πππPM ndo wap n Hotel au? Me nataka kuja kutoka kigambon had PM naul naweza kutumia shngap jaman Fanya haraka mnielekeze niende leoleoo..
Na kweli hatumo ππHakuna kitu humu kaka
Ushasanda sioWanaume wa humu wengi wameoa.... wakija humu wanajifanya single
πππ YelewiiiiNa kweli hatumo ππ
Bado sijaona wa kunisandishaUshasanda sio
Yaani ushasanda nimemaanisha ushashtukiaBado sijaona wa kunisandisha
Daaah π eti picha tenaTuma picha tutajua umeoa au laah
NdioDaaah π eti picha tena
Dogo mfuko wa pembeni.Yaani ushasanda nimemaanisha ushashtukia
Sio ushasaundishwa elewa tofauti dogo πππππ
Mfuko wa pembeni ni nn tenaDogo mfuko wa pembeni.
π€¨π€¨π€¨
Mfuko wa pembeni ni nn tena
Soma na ufikiri dogo.Mfuko wa pembeni ni nn tena
π€Soma na ufikiri dogo.