Nahitaji mume

helga

Member
Joined
Oct 20, 2013
Posts
14
Reaction score
0
mimi ni binti wa miaka 24.natafuta mume.umri kuanzia miaka 27.awe mcha mungu.pia awe na kaz.elimu kuanzia kidato cha nne.kabila lolote.elim yangu degree naishi mbeya.plz nataka aliye serious tu.0764655129
 
Hebu mpm yule jamaa anayebeba box uzi wake upo humuhumu mmu. Fanya fasta ukaishi ulaya!
 
mme mwema hutoka kwa mungu, M-PM sir God kwa maombi, atakupatia mme bora kabis mpka ushangae
 
mimi ni binti wa miaka 24.natafuta mume.umri kuanzia miaka 27.awe mcha mungu.pia awe na kaz.elimu kuanzia kidato cha nne.kabila lolote.elim yangu degree naishi mbeya.plz nataka aliye serious tu.0764655129

Vipi salama
 
Anaweza kua serious,halafu ww ukawa unamuenjoy 2,apa maswali lazima before love,vp kuhusu your background love?
 
hahaaa vijana tayari wamechangamkia tenda@frank wa moyo binafs mke wa jf,fb majangaaa mbona wengi y jf's demu o fb's demu na ww mdada kwani kusoma kwako hakuna uliyempenda o kukupenda bhax una matatizo weka picha zako
 
kama unajijua hauko serious ucjisumbue kupiga cm
 
mimi ni binti wa miaka 24.natafuta mume.umri kuanzia miaka 27.awe mcha mungu.pia awe na kaz.elimu kuanzia kidato cha nne.kabila lolote.elim yangu degree naishi mbeya.plz nataka aliye serious tu.0764655129

Sawa M-PESA TIL tumekuelewa!!!!
 
kwel kupata mtu aliye serious ni kazi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…