Nahitaji mwalimu wa kubadilishana kituo cha kazi

Nahitaji mwalimu wa kubadilishana kituo cha kazi

Mkomawatu

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
273
Reaction score
123
Habari zenu wadau? Mimi ni mwalimu mwajiriwa wa serikali idara ya elimu sekondari walaya ya Ukerewe mkoani Mwanza.Nahitaji kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu kutoka mkoa wa Morogor na Pwani.Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0757920263 na 0718073753.
 
Back
Top Bottom