Habari zenu wadau? Mimi ni mwalimu mwajiriwa wa serikali idara ya elimu sekondari walaya ya Ukerewe mkoani Mwanza.Nahitaji kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu kutoka mkoa wa Morogor na Pwani.Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0757920263 na 0718073753.