Nahitaji Mwalimu wa Tuition STD 4 - Mbweni Malindi

Nahitaji Mwalimu wa Tuition STD 4 - Mbweni Malindi

ComputersDAR

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
213
Reaction score
242
Habarini Wakuu

Rejea kichwa cha habari hapo juu.

Nahitaji msaada wa Mwalimu wa tuition MWENYE UZOEFU kwa Mwanafunzi wa kike wa darasa la 4.

Awe anaweza kufika Mbweni Malindi/JKT, Dar es Salaam siyo chini ya mara 3 kwa wiki.

Kwa mawasiliano 0625536529.

Asanteni
 
Back
Top Bottom