Habarini Wakuu
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji msaada wa Mwalimu wa tuition MWENYE UZOEFU kwa Mwanafunzi wa kike wa darasa la 4.
Awe anaweza kufika Mbweni Malindi/JKT, Dar es Salaam siyo chini ya mara 3 kwa wiki.
Kwa mawasiliano 0625536529.
Asanteni