Nahitaji mwanamke ambaye tukifahamiana vizuri zaidi awe mke mwakani!

Nahitaji mwanamke ambaye tukifahamiana vizuri zaidi awe mke mwakani!

Joined
Jul 30, 2017
Posts
8
Reaction score
9
Mimi ni kijana wa miaka 29.
Mwajiriwa.
Nahitaji mwanamke wa kuoa.
Dini yeyote.
Awe na umri kuanzia 20-28
Awe na elimu kuanzia kidato cha 4 kuendelea.
Asiye na kazi ya kumuongezea kipato atapewa kipaumbele zaidi.
Mwenye kazi ya kumuingizia kipato atapewa chaguo la pili baada ya kukosekana asiye na kazi.
Awe anaishi mikoa ya tanga,dar na mbeya
Aliye na uhitaji anichek PM tuyajenge.
 
Hata Mimi naitaji mke
Mimi ni kijana wa miaka 27
Mkristo
Ni Dr nimeajiriwa katika taasisi binafsi
Naitaji mwenye umri wa 20-24 awe angalau awe amefika chuo ,mkristo, kwa yeyote basi ni DM tu 0757694702


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi nahitaji mwanamke
Awe mrefu
Mwembamba
Midomo na masikio kama Zari
Shepu kama Sepenga
Height jini Kabula
Asiwe mwajiriwa
Awe na mtoto tayari (sihitaji kuzaa)
Umri wowote - unaoruhusiwa na serikali
Awe alishawahi kuolewa akaachika

Njoo PM
 
Hata mimi nahitaji mwanamke
Awe mrefu
Mwembamba
Midomo na masikio kama Zari
Shepu kama Sepenga
Height jini Kabula
Asiwe mwajiriwa
Awe na mtoto tayari (sihitaji kuzaa)
Umri wowote - unaoruhusiwa na serikali
Awe alishawahi kuolewa akaachika

Njoo PM
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji9] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom