Sisi tunaojua kuandika, HATUNA PESA NA HATUOI.Sawa,nakuja nikufundishe na kuandika.
"Huwezi kuinusuru dini Kwa kuoa mke mmoja"KUONGEZA MKE
Wanaohitaji stara ni mabikra pekee.KUTOKANA NA HALI JINSI INAVOENDA KWELI WANAWAKE WANAHITAJ STARA WANAUME WENZANGU TUONGEZENI SPEED YA KUWASTIRI BINAFSI NIPO TAYAR KUONGEZA MKE NATANGAZA NAFAS KWA AKIE TAYAR KUUPOKEA UKE WENZA AWE NA HESHIMA AJUHESHIMU ATAKAEMKUTA VIGEZO AWE MUISLAM AGE AANZIE 27 HADI 37 HATA AKIWA MFANYAKAZ WA TAASISI AU COMPANY ALIO TAYAR ANIFATE PRIVATE
Ni kweli wapo weng lakin wengi wao hawatak ndoa wanakwambia ndoa ni kubanwa tu wanataka.kua huru wafanye yao na wenyewe ya utafutaj wa rizkWasichana ndo wengi ila kucha kutwa wanaume ndo wanalalamika kuhusu wingi wao,kila siku humu matukio yanaripotiwa watu wakipigwa na vitu vizito,wengine wanalalama wamekosa wanawake wa kuwaoa hizi shida zinatoka wapi ikiwa wako wengi hivo
Mtoa mada huna lolote unataka tu unafuu wa maisha umebanwa kotekote
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe!!!.Sisi tunaojua kuandika, HATUNA PESA NA HATUOI.
Hawa mnaoona wanaandika vibaya, Hawa waloamua kuachana na shule, wakajikira Kwenye utafutaji wa Pesa, unakuta hapo Alipo ana Fuso zake Kadhaa, Nyumba Kadhaa .
Endeleen kutupenda sisi Wasomi, msomi anaishi Kwa ujanja ujanja, Anakula Kwa ujanja ujanja na kama utabishaz na PAPUCHI ATAILA KWA MKOPO.