Wanawake wa jf kama nilivyojieleza hapo juu. Nahitaji mwanamke ili awe nyumba ndogo yangu. Napendekeza zaidi awa kutoka mikoa ya Mbeya zaidi sana mkoa wa Songwe. Mimi ni mfanyabiashara nina mke na watoto. Nitapendelea zaidi awa muajiriwa wa serikali au awe mwenye elimu ya kati na awe na ndoto za kuwa mjasiriamali.
So sad..[emoji2827]Wanawake wa jf kama nilivyojieleza hapo juu. Nahitaji mwanamke ili awe nyumba ndogo yangu. Napendekeza zaidi awa kutoka mikoa ya Mbeya zaidi sana mkoa wa Songwe. Mimi ni mfanyabiashara nina mke na watoto. Nitapendelea zaidi awa muajiriwa wa serikali au awe mwenye elimu ya kati na awe na ndoto za kuwa mjasiriamali.
Ndio kwani ni jambo geni?
Nahitaji nimpate mmoja mzuri mzuri.
Una maono ya mbali mjumbe.Kwa nini mjumbe?
Wakakope Microfinance ada za watoto.ππππNaona unatafuta wa KUSAIDIANA MAJUKUMU...