prince wilson
Member
- Jan 7, 2013
- 10
- 4
Mimi ni kijana handsome niko Dar ninafanya kazi kwenye kampuni binafsi nahitaji mpenzi wa kike ambaye anaye taka mapenzi matamu ya kweli na mwenye mapenzi ya kweli mwenye umri kuanzia miaka 18-32 awe anajishuhulisha na awe na uwezo kifedha.
nimesema hivyo sababu nimewahi kuwa na mpenzi niliye mpenda kwa dhati lakini mwisho wa siku alini laghai na kuwafuata wenye pesa na kuniacha solemba..
kama uko tayari na una sifa nilizo zitaja nijibu kwenye email yangu ifuatayo:-
princewmalisa@gmail.com
nimesema hivyo sababu nimewahi kuwa na mpenzi niliye mpenda kwa dhati lakini mwisho wa siku alini laghai na kuwafuata wenye pesa na kuniacha solemba..
kama uko tayari na una sifa nilizo zitaja nijibu kwenye email yangu ifuatayo:-
princewmalisa@gmail.com