NAHITAJI MWANAMKE MPENZI Wa KUMFARIJI

NAHITAJI MWANAMKE MPENZI Wa KUMFARIJI

prince wilson

Member
Joined
Jan 7, 2013
Posts
10
Reaction score
4
Mimi ni kijana handsome niko Dar ninafanya kazi kwenye kampuni binafsi nahitaji mpenzi wa kike ambaye anaye taka mapenzi matamu ya kweli na mwenye mapenzi ya kweli mwenye umri kuanzia miaka 18-32 awe anajishuhulisha na awe na uwezo kifedha.
nimesema hivyo sababu nimewahi kuwa na mpenzi niliye mpenda kwa dhati lakini mwisho wa siku alini laghai na kuwafuata wenye pesa na kuniacha solemba..

kama uko tayari na una sifa nilizo zitaja nijibu kwenye email yangu ifuatayo:-

princewmalisa@gmail.com
 
Mmmmh..... Wanaume wengi wanaotafuta wanawake wenye uwezo kifedha wanapenda kuhudumiwa..!

Naongea nikiwa na ushahidi...!! Kama nia yako si hiyo nakutakia Kila la heri!
 
napita tu hapa....sina hata mia mie...ziro balance tutajibeba
 
Mmmmh..... Wanaume wengi wanaotafuta wanawake wenye uwezo kifedha wanapenda kuhudumiwa..!

Naongea nikiwa na ushahidi...!! Kama nia yako si hiyo nakutakia Kila la heri!
mwanaume gani anatanguliza hela mbele? siku hujaleta home ndani hupati unyumba mweee!
 
jamani acheni kunichafulia mimi nina nia nzuri na si after money,kama una hitaji mahaba nipe contact zako kwenye hiyo email yangu,nina mapenzi ya dhati na ndio maana sitaki kuachwa kwaajili ya pesa.
 
jamani acheni kunichafulia mimi nina nia nzuri na si after money,kama una hitaji mahaba nipe contact zako kwenye hiyo email yangu,nina mapenzi ya dhati na ndio maana sitaki kuachwa kwaajili ya pesa.
hatuna hata mia baba ndo tunategemea kupata wapenzi watutoe kimaisha watupe mitaji..watusomeshe nk!
 
Mimi ni kijana handsome niko Dar ninafanya kazi kwenye kampuni binafsi nahitaji mpenzi wa kike ambaye anaye taka mapenzi matamu ya kweli na mwenye mapenzi ya kweli mwenye umri kuanzia miaka 18-32 awe anajishuhulisha na awe na uwezo kifedha.
nimesema hivyo sababu nimewahi kuwa na mpenzi niliye mpenda kwa dhati lakini mwisho wa siku alini laghai na kuwafuata wenye pesa na kuniacha solemba..

kama uko tayari na una sifa nilizo zitaja nijibu kwenye email yangu ifuatayo:-

princewmalisa@gmail.com

Unahitaji mwenye hela, awe nazo kama sh. Ngapi?
 
Back
Top Bottom