Mwanzo 2:18
Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwanamke aliye na vigezo vifuatavyo, kama uko tayari karibu PM zote zitajibiwa
1. Uvaaji, anayejiheshimu
2. Urembo- anayependa kuwa natural. Wewe kama kope bandia, rangi bandia, nywele bandia, maziwa mpaka uyaboost, hips bandia kila kitu bandia, usipoteze muda wako.
3. Mwanamke anayejitambua potentials zake. Hivi unajua mwanamke ana nguvu nyingi sana na ana uwezo wa kukufanyia chochote na usifurukute. Wanawake wengi siku hizi hawajitambui ndo maana wanalalamika tuu. Jifunze kisa cha Esta katika biblia. Aliingia kwa mfalme bila kubeba vipodozi lakini alishinda. Alipoolewa na mfalme aliushikilia moyo wa mfalme chochote alichotaka alitimiziwa ila kwa hekima ya ajabu sana (jifunze jinsi alivyomchomea Hamani mpaka mfalme akatangaza auawe Hamani).
4. Elimu kuanzia kidato cha nne hadi degree ya kwanza.
5. Body shape: Mguu wa bia, kifuani nako uwe umejaliwa, sipendi flat screen.
6. Rangi: Kuanzia weusi, maji ya kundena mweupe. Weupe kama ule wa kujipodoa (hata kama ule wa asili) hautakiwi.
7. Dini: Yeyote
8. Awe na ukomavu wa kiakili kuhusu maisha. Awe na ubunifu wa maisha na mchakarikaji.
9. Urefu. Size ya kawaida (Mrefu sana na mfupi sana hawatakiwi).
10. Mahusiano- Kuhusu mahusiano kufikia hatua ya ndoa itategemea kama utafuzu katika mizaia yangu.
Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwanamke aliye na vigezo vifuatavyo, kama uko tayari karibu PM zote zitajibiwa
1. Uvaaji, anayejiheshimu
2. Urembo- anayependa kuwa natural. Wewe kama kope bandia, rangi bandia, nywele bandia, maziwa mpaka uyaboost, hips bandia kila kitu bandia, usipoteze muda wako.
3. Mwanamke anayejitambua potentials zake. Hivi unajua mwanamke ana nguvu nyingi sana na ana uwezo wa kukufanyia chochote na usifurukute. Wanawake wengi siku hizi hawajitambui ndo maana wanalalamika tuu. Jifunze kisa cha Esta katika biblia. Aliingia kwa mfalme bila kubeba vipodozi lakini alishinda. Alipoolewa na mfalme aliushikilia moyo wa mfalme chochote alichotaka alitimiziwa ila kwa hekima ya ajabu sana (jifunze jinsi alivyomchomea Hamani mpaka mfalme akatangaza auawe Hamani).
4. Elimu kuanzia kidato cha nne hadi degree ya kwanza.
5. Body shape: Mguu wa bia, kifuani nako uwe umejaliwa, sipendi flat screen.
6. Rangi: Kuanzia weusi, maji ya kundena mweupe. Weupe kama ule wa kujipodoa (hata kama ule wa asili) hautakiwi.
7. Dini: Yeyote
8. Awe na ukomavu wa kiakili kuhusu maisha. Awe na ubunifu wa maisha na mchakarikaji.
9. Urefu. Size ya kawaida (Mrefu sana na mfupi sana hawatakiwi).
10. Mahusiano- Kuhusu mahusiano kufikia hatua ya ndoa itategemea kama utafuzu katika mizaia yangu.