Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 87
- 113
usiniambie na we unatafuta😋Weka na sifa zako.
Nahisi kuna kipengele hapo kitakukosha mke...maana naona kama kinaeleza sifa zako zote [emoji4][emoji41]..ni mawazo yangu tu lakini
😃😃😂😂😂🙌[emoji3][emoji3][emoji3]mi pia nimeona
Heshima na Utii😅Nahisi kuna kipengele hapo kitakukosha mke...maana naona kama kinaeleza sifa zako zote 😊😎..ni mawazo yangu tu lakini
[emoji23][emoji23][emoji23] Aweke sifa zake iwe rahisi kwa wanaotaka mume humu wachuje hapa hapa kabla hawajaenda pm.usiniambie na we unatafuta[emoji39]
Itakua labda😃😃😃🤣🤣Heshima na Utii😅
Punguza wivu mkuu...🤨usiniambie na we unatafuta😋
Akikosa kabisa afanyeje....??🤣Best wishes
Tafuta kwanza😁
Aje achague kuanzia 18 mpaka 40😁Akikosa kabisa afanyeje....??🤣
Wee nini au kwa sababu wewe hawakuja pm ndio unamkatisha tamaa mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23] ebu tulia huko.Bro jf hamna wife material....utanishukuru
🤣🤣🤣🤣🤣 Jamani mie nimempa maoni yaangu kwa mtazamo wangu wee mpe yako achuje mwenyeweWee nini au kwa sababu wewe hawakuja pm ndio unamkatisha tamaa mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23] ebu tulia huko.
Wee muache ajionee mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamani mie nimempa maoni yaangu kwa mtazamo wangu wee mpe yako achuje mwenyewe