πππwalala hoi kazi tunayo
hamna cha chemistry mnataka luxuryπππ
Chemistry ndio ina matter kwangu, hela zinatafutwa.hamna cha chemistry mnataka luxury
π€£π€£π€£π€£πwalala hoi kazi tunayo
Ndo upunguze na vigezo sasaππWakati wa MUNGU huwa ni sahihi siku zoteβΊοΈπ
Una shingi ngapi?Habari wanajukwaa,
Nahitaji mwanamke wa kuoa, aliye tayari nifuate PM.
SIFA:
~ Umri 18-24
~ Elimu kuanzia la saba nakuendelea
~ Awe tayari kutafuta maisha yenye mafanikio
~ HESHIMA na UTII
Ni vizuri,,, lakini watu sikuizi hawaangalii hiloππSasa si ndio vizuri Ili hayo mafanikio wote wawe na uchungu nayo . Mali hazitapotea kizembe . Maana nidhamu itakuwepo to the fullest.