Nahitaji mwanamke wa kuzaa naye

Duh hii kali sana na ni mtihani mkubwa mno ndugu. Pole sana ila sasa kuzaa tu halafu usioe itakuwa ngumu kidogo mkubwa
 

Pole sana na dilema hii. But, on the other hand, you should seriously consider that what is happening to you might be a mesage that God did not want you to have children. So, nakushauri usilazimishe kuwa na mtoto
 
Ndugu zangu nawashukuruni sana kwa jinsi mlivyonifariji, sikutarajia hata kidogo kupata positive and constructive ideas. Mliusoma ujumbe wangu kwa makini, mkautafakari, mkauelewa, mkaingiwa na huruma na kisha mkakubali kutumia muda wenu kuniandikia kwa lengo la kunishauri, kunipa pole, kunifariji na kisha kunipa matumaini mapya na mori kwamba kwake yeye Muweza hakina kinachoshindikana panapopatikana mapenzi yake. Nawashukuruni tena kwa hayo yote. Kuna walioniandikia kwa wazi na walioniandikia kwa siri, nyote nawashukuru sana. Mawazo yenu na ushauri wenu ni hazina kubwa sana kwangu. Kwakutilia maanani umuhimu wa kila lililosemwa nanyi nimeamua kutengeneza matrix ila kila wazo lililotolewa nilizingatie katika kufanya maamuzi magumu. Kwa mujibu wa jumbe nyingi tofauti nilizopokea wazini na sirini, nimejifunza kwamba UKWELI UNALIPA kwakuwa niliyowaeleza ninyi hayakuwa jokes za net bali ni dhahiri yaliyonifika na nimejifunza kuwa ya KHERI HUENDA KIKHERIKHERI. Mmenikumbusha baadhi ya methali zisemazo MFICHA UCHI HAZAI na MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU ili mradi tu ukweli huo hauathili your personal family life, maana nisingesema kidagaubaga nisingeyapata niliyoyapata toka kwenu. Wabillah tawfiq, Mungu awabariki sana.
 
Dena, unachosema ni sahihi si kitu rahisi sana. Kuna mmoja kati ya mia asiyetaka kuolewa kwa sababu zake na akataka labda kuwa a caerrer woman kwa hiyo kuwa na mume kwake ni mzigo. Huenda akapatikana huyo. Bado naomba
 
Ndugu yangu Mpita njia, Msiba kwa jirani si kwako. Usiombe ufikwe na hili. Sirahisi kusema kwamba nimeamua sizai wakati ninauwezo wa kuzaa. Customs na traditions za Wazungu nitofauti kidogo na za kiswahili. Nimeona umuhimu wa mtoto pale mimi nilivyoweza kubadilisha maisha ya wazazi wangu na kuwatunza katika umri waliokuwa nao. Ninapopata picha hiyo huwa najiuliza kulikoni mimi nitakapokuwa nahitaji msaada kama huu unohitajika na wazazi wangu sasa? Ingawa nafahamu kuzaa si kupata na unaweza kustrugle usifanikiwe lakini huwezi kufanikiwa bila kustrugle. Nafanya kazi sana na kutafuta pesa kwa juhidi sana je ni kwa ajili ya nini, ni mimi tu na mke wangu je na baada ya sisi kuondoka ni nani? Sitaki kuadopt kwakuwa ninashida ya mtoto bali katika mipangilio yangu nita adopt hata kama nikipata mtoto kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa jamii ya watu wasiojiweza na kutokuwa na matarijio ya future. Lakini si kuacha kwakuwa Mungu ametaka iwe hivi bali ni kutafuta ufumbuzi uliomakini wajinsi gani ya kuweza kupata bila kukarahisha nafsi zinazonizunguka. Si kweli kwamba watoto wote wakambo ni wabaya, ninamifano mitatu hai ya rafiki zangu wakaribu ambao wanawaleo mama zao wa kambo kwa kiwango cha hali ya juu sana kulingana na malezi waliyopata kutoka kwa mama zao hao wakambo. Kwa mtaji huo ninaimani inaweza kuhold kwangu pia ingawa si lazima sana. This is a very complex issue particularly for an educated person who nalyses issues in depth.
 
Pamoja na yote kabla hatujakusaidia; mlete shemeji atujulishe kuwa huu mpango ameshirikishwa vilivyo! Isije kuwa tunabariki mpango KANDO!
 
Pamoja na nia yako, na hamu yako kubwa ya kupata mtoto (kitu ambacho ni chema) nakushauri uone pia imani yako ya dini inasemaje kuhusu hicho unachotaka kukifanya. Je, kinakubalika? Kama kinakubalika songa mbele. Kama hakikubaliki, pokea mapenzi ya Mungu, nawe utaishi kwa furaha na amani hata bila kuwa na mtoto. Usilazimishe mambo ndugu!
 

Certainly prayers turns Impossibles. God who created your wife knows every detail, every fault and failure, hence He is able to RESTORE her.
Go to servants of God who will pray for you (both) and the blessing of children will come to pass. I have seen some friends without children for about 20 years, going to all best doctors and witchdoctors and failed but as they realized that God may do it, they went to His servants for prayers and certainly it was their breakthrough. Do that and you will live your dream before going to your conflicting and thoughts which will lead your family "scattered" for generations.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…