Nahitaji mwanasheria kwa haraka

Nahitaji mwanasheria kwa haraka

motivater

Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
67
Reaction score
14
Habari wanajamvi, ni matumaini yangu kwamba nyie ni wazima wa afya. Ninauhitaji wa haraka sana wa mwanasheria kutoka UDSM, kama upo huku jamvini tafadhali ni PM contact zako nitakutafata mara tu nitakapoziona, kama utakuwa dar ingekuwa vizuri zaidi na km ww ni mwanafunzi basi uwe wa mwaka wa 3 au zaidi from UDSM.
 
Back
Top Bottom