Sijasoma comments: lakini ungetaja unahitaji msaada generally upande gan? Matrimonial. Business, kazi, probate au nin watu wajiaccess mapema. Sio kila adv ni mahili kwenye kila kesiWapendwa,
Naomba kwa mwanasheria yoyote ambaye atakua tayari kunisaidia naomba tuwasiliane pm ...
Kuna Jambo ambalo nahitaji msaada na muongozo ,
Na hatimaye kufungua kesi ...
Na anisimamie hiyo kesi ..
Maelezo yote tutapeana,
Natanguliza shukran