Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
Nadhani hii email accountimeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.PHP:matyshirima@gmali.com
Kumbe wewe ndio mshenga wa Fidel!!!!Nadhani hii email accountimeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.PHP:matyshirima@gmali.com
......he!he!heee....daah huyu kijana namtafuta sana kwaajili ya hii issue naona mama yupo serious hapa.....though email zinabaunsi beki! mchungaji ebu piga neno.....!
Kumbe wewe ndio mshenga wa Fidel!!!!
Fanya fasta mzee hii bahati haiji mara mbili!Hahahaha mpwa bana ngoja nijaribu na mm kuMP asije Nyani Ngabu akaniwahi bure.
Najaribu kukeme lakini bado! Nguvu ya shetwani ni kubwa. Ila aweke na namba ya simu ili niongee naye kwa niaba ya Fidel80
Simu mtandao utakata, maana shetani ana nguvu ya ajabu. Ukishindwa tutaarifu tumkemee pamoja!
Nadhani hii email accountimeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.PHP:matyshirima@gmali.com
Bah!!!Ila nimeshauri Fidel kwanza ampime kila kitu na asijaribu ule mchezo wake! Arudie tena kipimo kikubwa baada ya miezi mitatu. Kama itakuwa poa basi ajiexpress kurudi nyuma.
Mchungaji mbona unausemea moyo wa Fidel :becky::becky::becky::becky:
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com
Kumbe wewe ndio mshenga wa Fidel!!!!
......he!he!heee....daah huyu kijana namtafuta sana kwaajili ya hii issue naona mama yupo serious hapa.....though email zinabaunsi beki! mchungaji ebu piga neno.....!
Najaribu kukeme lakini bado! Nguvu ya shetwani ni kubwa. Ila aweke na namba ya simu ili niongee naye kwa niaba ya Fidel80
Mchungaji mbona unausemea moyo wa Fidel :becky::becky::becky::becky:
Huyu mpwa wangu siwezi fanya lolote bila kumshirikisha
Hata mm nipo serious hommie hapa mm akikubali tu nawapa miezi 6 mwanze kuniletea michango ya harusi
Akiweka namba ya simu atarahisisha mawasiliano na mm nimejaribu zinagongwa mwamba
Jamani mchungaji ni mpwa wangu hakiharibiki kitu hapo..
kwani Fidel80 kaachika???? au kafiwa na mke?????:A S 39:Najaribu kukeme lakini bado! Nguvu ya shetwani ni kubwa. Ila aweke na namba ya simu ili niongee naye kwa niaba ya Fidel80
kwani Fidel80 kaachika???? au kafiwa na mke?????:A S 39:
kwani Fidel80 kaachika???? au kafiwa na mke?????:A S 39:
Kaachika homu boi kwa sababu ya libeneke....lilikuwa sio mchezo.....mama kasepa!:becky:
watu kumbe mnafanya kweli :becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:Nadhani hii email accountimeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.PHP:matyshirima@gmali.com