Nahitaji mwanaume ambae mke ni vuvuzuela

Kwa kweli sasa hata kama mwana J.F akiwa mpweke akihitaji mwenza kiukweli hataaminiwa kwani watu wanaleta masihara kwenye mambo nyeti kama haya........................acheni hizo wadau!
 
[COLOR=red said:
Clearing[/COLOR];1048554]Ha ha haaa clearing mie nilikuwa natamani kucheka na nimecheka kweli kweli mpaka mbavu zinaniuma hapa nilipo

wewe una ID 2 na siajabu ni mwanaume na umeji koti mwenyewe
 
Mbona inaonyesha kimekuuma sana inaelekea humuheshimu mumeo wewe ndio maana umekasirika sana

Wala hakijaniuma,pengine mie ndo vuvuzela mwenyewe unaemuhitaji! ....subiri warudi huko ndo tutaongea vizuri na wewe mvunja ndoa..!!
 
wala hakijaniuma,pengine mie ndo vuvuzela mwenyewe unaemuhitaji! ....subiri warudi huko ndo tutaongea vizuri na wewe mvunja ndoa..!!


jamani naomba mnisamehe na yaishe nilikuwa najaribu kutest hasira za watu humu jf tuachane na hii post maana naona mnatamani kunitia ngumi mtanisamehe mnaotafuta wenza kwa kumaanisha nilikuwa nataka kufurahisha genge tu

niambieni kama mmenisamehe basi naapa kutorudia tena
 

crap
 

Kwa maneno hayo mekundu inaonesha kabisa kuwa una urafiki na Israel mtoa roho za watu.
 
:confused2::confused2::confused2:sihitaji kuumiza kichwa yangu hapa
 

:closed_2:
 
Acha utoto, usirudie tena!!!!!!!!
 
Ni wazi kuwa hutorudia kwa kuona aibu.Ila picha uliyoniachia ni kuwa wewe ni MUHUDUMU WA KUZIMU.
 
Ha ha haaa clearing mie nilikuwa natamani kucheka na nimecheka kweli kweli mpaka mbavu zinaniuma hapa nilipo
Clearing
Hili jukwaa ni la wanaHOJA na si VIOJA
watu kama ninyi huwa nawaf.....a kabisa
 

Hongera kwa kuwa "stress releaser". Manake midume mingi inaumia na ndoa zao kimya kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…