Nahitaji Mwanaume mwenye nia ya dhati

Nahitaji Mwanaume mwenye nia ya dhati

neema2

Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
10
Reaction score
18
Hellow!
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji ya kunde
Kabila:Mkinga
Education:Bachelor of degree
Kazi:Nimeajiriwa,
Dini:Mkristo- Roman catholic
Makaz: Dar-es-salaam

SIFA ZA MWANAUME NINAYEMUHITAJI
Umri: kati ya miaka 35 mpka 41
Height- sio muhimu
Colour:sio muhimu
Body size: sio muhimu pia
Makazi: DSM
Dini- mkristu
Kazi: awe anajishughulisha na kazi inayomwingizia kipato ili maisha yasonge
Ila tuh awe mwenye kujiheshimu, mapenzi ya kweli, asiwe muongo uwazi ndio kila kitu, asiwe mkali kwa sababu mimi ni mpole sana atanionea,
ASANTE.
NB: kama unataka kujaribu nakuomba please usije PM, Ninamaanisha..
 
Sasa dada hapo kwenye umri napo ungesema sio lazima
Ili na sisi wenye 25 tuangalie tunakujaje huko pm





Anyway @financial services usione hi[emoji1][emoji1]
 
Yaani mpaka anatafuta mme via jf still haoni maisha sio simple 'eti bila kujali ana mtoto au la"
Tena mwanzoni mwa uzi shenzikabisa.
Wafu walishagegeda na kuzalisha anataka mtu akalee mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mpaka anatafuta mme via jf still haoni maisha sio simple 'eti bila kujali ana mtoto au la"
Tena mwanzoni mwa uzi shenzikabisa.
Wanashindwa kuelewa kuwa ni majukumu makubwa sana kuanza kulea mtoto wa kidume mwenzio eapecially kama huyo kidume yupo hai
 
My dear, having a child sio ulemavu.

Usimfiche mwanao Ili upate mwanaume.

Be proud of your child, let the man you meet know you have a child and leave it to him to decide if he can accept you or not. If not let him be.

Focus on yourself and your child, build your career....Muhimu uwe na kipato chako unachoweza kujisimamia na mwanao. Huyo mwanaume asije kuwa ndie means of survival kwako na the little champion.

Ukibweteka hakuna rangi utaacha kuona.
 
Mzigo unao lakini? Vipi mimba umetoa ngapi hadi sasa ili tuangalie uwezekano maana overhaul mwisho mara 3

NB: Sifa zote ninazo nataka nijiridhishe kwanza
 
Back
Top Bottom