Hellow!
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji ya kunde
Kabila:Mkinga
Education:Bachelor of degree
Kazi:Nimeajiriwa,
Dini:Mkristo- Roman catholic
Makaz: Dar-es-salaam
SIFA ZA MWANAUME NINAYEMUHITAJI
Umri: kati ya miaka 35 mpka 41
Height- sio muhimu
Colour:sio muhimu
Body size: sio muhimu pia
Makazi: DSM
Dini- mkristu
Kazi: awe anajishughulisha na kazi inayomwingizia kipato ili maisha yasonge
Ila tuh awe mwenye kujiheshimu, mapenzi ya kweli, asiwe muongo uwazi ndio kila kitu, asiwe mkali kwa sababu mimi ni mpole sana atanionea,
ASANTE.
NB: kama unataka kujaribu nakuomba please usije PM, Ninamaanisha..
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji ya kunde
Kabila:Mkinga
Education:Bachelor of degree
Kazi:Nimeajiriwa,
Dini:Mkristo- Roman catholic
Makaz: Dar-es-salaam
SIFA ZA MWANAUME NINAYEMUHITAJI
Umri: kati ya miaka 35 mpka 41
Height- sio muhimu
Colour:sio muhimu
Body size: sio muhimu pia
Makazi: DSM
Dini- mkristu
Kazi: awe anajishughulisha na kazi inayomwingizia kipato ili maisha yasonge
Ila tuh awe mwenye kujiheshimu, mapenzi ya kweli, asiwe muongo uwazi ndio kila kitu, asiwe mkali kwa sababu mimi ni mpole sana atanionea,
ASANTE.
NB: kama unataka kujaribu nakuomba please usije PM, Ninamaanisha..