Habari za mda huu wana JF, natumai mu wazima mnaendelea kuijenga Tanzania ya viwanda.
Mimi ni mjasiriamali mdogo ambae nimeamua kujiajiri kwa kutengeneza viatu vya ngozi, ni biashara ambayo nina uzoefu nayo kwa mwaka 1 na miezi 3, tatizo kubwa linalonikumba ninapata oda nyingi tofauti na mtaji hivyo nashindwa jinsi ya kuzifanyia kazi kwa muda muafaka.
Kama kuna mtu atakua yupo tayari kuwekeza kiasi kisichopungua milioni moja na tukatengeneza faida ya laki 2 kwa wiki nitashukuru sana kuhusu jinsi gani tugawane faida na mambo mengine.
Call au whatsup 0625888090 nipo Tegeta kwa Ndevu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mjasiriamali mdogo ambae nimeamua kujiajiri kwa kutengeneza viatu vya ngozi, ni biashara ambayo nina uzoefu nayo kwa mwaka 1 na miezi 3, tatizo kubwa linalonikumba ninapata oda nyingi tofauti na mtaji hivyo nashindwa jinsi ya kuzifanyia kazi kwa muda muafaka.
Kama kuna mtu atakua yupo tayari kuwekeza kiasi kisichopungua milioni moja na tukatengeneza faida ya laki 2 kwa wiki nitashukuru sana kuhusu jinsi gani tugawane faida na mambo mengine.
Call au whatsup 0625888090 nipo Tegeta kwa Ndevu.
Sent using Jamii Forums mobile app