Nahitaji mwenye parachichi aina ya hass pekee

King Loto

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
1,581
Reaction score
1,357
Kama kuna mwanajf mwenye kunijuza maeneo zilipo tunda la parachichi aina ya hass kwa Moshi au Arusha anipe info's anijuze hapa au aje PM kama yuko nazo,

siitaji parachichi kuchukua maeneo ya mbeya rungwe, njombe, au iringa maana kipindi hiki hizo parachichi zinaweza kuwa adimu sababu ya mavuno yake kuwa chini msimu huu kwahiyo naepuka cost za kusafirisha kutoka huko shambani mpaka sokoni vile nitanunua kwa bei ya juu na kuuza kawaida,

nimeomba hivo maana soko lake lipo nearby arusha, kilimakiaro....
 
Parachichi Parachichi nzuri zipo bukoba na ni gharama ndogo na makubwa kama unawez

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…