Black Mann
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 140
- 209
Habari zenu ndugu zangu!!?
Mimi ni mwanaume wa miaka 35 sasa, nimekuwa sipo katika mahusiano Kwa muda mrefu kiasi na sasa nahitaji nipate Mwenza Kwa ajili ya kuendelea na Maisha ya mahusiano, mapenzi mpaka ndoa.
Natamani Sana nipate mtu sahihi ambaye tutapenda tutakuwa marafiki she is romantic! daaah jamaniiii I wish Wadada mnielewe Kwa kweliii. PM yangu ipo wazi karibuni sana.
Mwenza awe na age kuanzia 23 na kuendelea
Mimi ni mwanaume wa miaka 35 sasa, nimekuwa sipo katika mahusiano Kwa muda mrefu kiasi na sasa nahitaji nipate Mwenza Kwa ajili ya kuendelea na Maisha ya mahusiano, mapenzi mpaka ndoa.
Natamani Sana nipate mtu sahihi ambaye tutapenda tutakuwa marafiki she is romantic! daaah jamaniiii I wish Wadada mnielewe Kwa kweliii. PM yangu ipo wazi karibuni sana.
Mwenza awe na age kuanzia 23 na kuendelea