Nahitaji mwenza wa maisha.

Tatizo langu nina wivu wa kufa mtu.cwezi vumilia kifaa changu kinatumiwa tumiwa tu! nisijekufa cku si zangu.
Usijali kule nakamata harufu chakula nakuja kula nyumbani.
 
Why number ya tigo? And what if hana namba ya tigo? Au una maana nyingine? πŸ™‚

Usiniweke maneno mdomoni!! I said tigo meaning mobile No.
Why Tigo!! Because Tigo is cheap and statistics show That Everyone in Dar has a tigo No.
 
Sista Sophia huyo mwenza unayemtafuta kuanzia 50yrs ni wa MALENGO gani? manake tofauti ya miaka 20 (assuming unampata wa 50yrs) sound ridiculous to me.

Vivian vipi leo billionares club tukamatane pale moja moto moja baridi?😎
 
Sista Sophia huyo mwenza unayemtafuta kuanzia 50yrs ni wa MALENGO gani? manake tofauti ya miaka 20 (assuming unampata wa 50yrs) sound ridiculous to me.

Vivian vipi leo billionares club tukamatane pale moja moto moja baridi?😎

Mi bado nataka kujua anatafuta mwenza wa jinsia gani. Hilo tu basi!
Kwa hiyo kwa ankal leo ntakuwa peke yangu siyo?
 
Usiniweke maneno mdomoni!! I said tigo meaning mobile No.
Why Tigo!! Because Tigo is cheap and statistics show That Everyone in Dar has a tigo No.

mshiki wa iribini, am the exception here.....sina hiyo no ya Tigo....
 
Mi bado nataka kujua anatafuta mwenza wa jinsia gani. Hilo tu basi!
Kwa hiyo kwa ankal leo ntakuwa peke yangu siyo?

assume anatafuta wa kiumeni basi.................
 
Mi bado nataka kujua anatafuta mwenza wa jinsia gani. Hilo tu basi!
Kwa hiyo kwa ankal leo ntakuwa peke yangu siyo?

duh..hommie wewe tena bana? ngoja tumsikie anasemaje kwanza...logistik!
 
mshiki wa iribini, am the exception here.....sina hiyo no ya Tigo....
Mamushkaaaa! LOLZ! Ngoja nikufanyie the needful. Simu ya elfu 25 si poa tu?

assume anatafuta wa kiumeni basi.................
Aseme tu, Fidel hayuko mbali na hapa. Kama vipi kuna swahiba yako AKILI KICHWANI.........! Atapata akili yake!
 
Usiniweke maneno mdomoni!! I said tigo meaning mobile No.
Why Tigo!! Because Tigo is cheap and statistics show That Everyone in Dar has a tigo No.

Siyo kweli hapo kweli red. I, for one, don't have a tigo number! πŸ™‚
 
Mamushkaaaa! LOLZ! Ngoja nikufanyie the needful. Simu ya elfu 25 si poa tu?


Aseme tu, Fidel hayuko mbali na hapa. Kama vipi kuna swahiba yako AKILI KICHWANI.........! Atapata akili yake!

ya 25 inatuma sms na kupoke simu?? kama ndio basi sina tatizo plz make iti quick nahisi am missing a lot.....

AK 47 naona kaanza hunting officially early Friday morning.... hahaaaaaaaa
Fide na yeye aje ajiopolee
lakini hana miaka 50 sasa................
 
B! How r u today?

B am gud!!! ila wasuka bana wananichanganya, I was about to bring the chapa ya n'gombe home aaaaaaaaaaaaah makomplikesheni tena......

nina hamu na wewe B duh!!!! do ze needful ze soonest plz!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…