1.Andaa/chagua jina la kampuni mkuu.
2. TIN za wakurugenzi
3. Vitambulisho vya NIDA vya wakurugwnzi na kampani secretary
4. Njoo nitakuandalia business plan na memorandum pamoja na nyaraka zote zinazohuaina na kampuni yako hiyo.
5. Utalipia kiasi fulani cha pesa mkuu katika mchakato huo wa usajili wa kampuni.
6. Kama upo tayari njoo PM.