Nahitaji nafasi kwa mara ya pili

Nahitaji nafasi kwa mara ya pili

Mr. Mangi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2014
Posts
1,514
Reaction score
768
Ndugu wana Jf mim ni kijana niliyemaliza kidato cha 6 mwaka huu nina miaka 20 nimepata div 3 ya 10 HGE nimechaguliwa kujiunga na chuo St. Joseph, ila kutoka moyon mm napenda kuwa daktar na hiv karibun nimejaribu kutumia vyet vyangu vya form 4 kujiunga na baadh za koz zinazotolewa pale KCMC ila mekutana na kikwazo kwan o-level sijasoma phys ila mesoma chem na bios na nilifaulu haya masomo. Hivyo nafikiria kurudia hilo somo moja ili niweze kutimiza ndoto zangu, sasa wandugu naomben ushaur juu ya hil pamoja na changamoto nazoweza kukutana nazo, asante.
 
kilichokutuma ukasome HGE nn au ulifata mkumbo. Ushapoteza muda wako we nenda chuo upate ki degree chako cha ualimu ugange njaa huo udaktari watasoma wanao

kweli sasa najutia ila vigezo vya kurudia ninavyo hasa umri pili koz niliyochaguliwa hortculture ajira zake ni za shida hasa kwa tz kwan kuna jamaa aliyesoma hiyo koz yupo hom mwaka wa 4 sasa
 
Ndugu wana Jf mim ni kijana niliyemaliza kidato cha 6 mwaka huu nina miaka 20 nimepata div 3 ya 10 HGE nimechaguliwa kujiunga na chuo St. Joseph, ila kutoka moyon mm napenda kuwa daktar na hiv karibun nimejaribu kutumia vyet vyangu vya form 4 kujiunga na baadh za koz zinazotolewa pale KCMC ila mekutana na kikwazo kwan o-level sijasoma phys ila mesoma chem na bios na nilifaulu haya masomo. Hivyo nafikiria kurudia hilo somo moja ili niweze kutimiza ndoto zangu, sasa wandugu naomben ushaur juu ya hil pamoja na changamoto nazoweza kukutana nazo, asante.

Unawazo zuri mkuu na pia umri co mbaya xana..! Watu wanaxoma hata wakiwa wazee, unaonaje ukimaliza kabxa hii series yako uliyoianza alafu ukishaua hyo bachelor yako, ukajixomesha mwenyewe kabxa bila kuleta usumbufu kwenye familia ----??
 
kweli sasa najutia ila vigezo vya kurudia ninavyo hasa umri pili koz niliyochaguliwa hortculture ajira zake ni za shida hasa kwa tz kwan kuna jamaa aliyesoma hiyo koz yupo hom mwaka wa 4 sasa

bado nafasi ya kuchange kozi unayo af sua zipo nyingi sana hata eductn inawezekana chukua hiyo degree kuliko kuanza na kureseat mitihani, nahisi mziki wa secondary unaupata, ushapata nafasi itumie
 
aisee eb wah chuo af kachange coz achana na mambo ya kuresit, af ugekua kwel unataka kuwa daktar tipicaly ucnge soma comb io advance
 
bado nafasi ya kuchange kozi unayo af sua zipo nyingi sana hata eductn inawezekana chukua hiyo degree kuliko kuanza na kureseat mitihani, nahisi mziki wa secondary unaupata, ushapata nafasi itumie
poa bro ila sitakuwa na bright future
 
aisee eb wah chuo af kachange coz achana na mambo ya kuresit, af ugekua kwel unataka kuwa daktar tipicaly ucnge soma comb io advance

advance nilipanga nisome CBG na nilikuwa na credit ila nilikatishwa tamaa na mmoja kat ya ndugu
 
Unawazo zuri mkuu na pia umri co mbaya xana..! Watu wanaxoma hata wakiwa wazee, unaonaje ukimaliza kabxa hii series yako uliyoianza alafu ukishaua hyo bachelor yako, ukajixomesha mwenyewe kabxa bila kuleta usumbufu kwenye familia ----??

poa ndugu, ila koz niliyopangwa ni miaka 4 bach of technology in hortculture ada yake ni 2.75M mkopo ni 1.23M hasa huon nitakuwa metumia gharama kubwa sana then nisije ifanyia kazi hiyo kozi
 
advance nilipanga nisome CBG na nilikuwa na credit ila nilikatishwa tamaa na mmoja kat ya ndugu

Bahati mbaya hukufahamu kuwa, ukitaka ushauri wa kimasomo, unatakiwa uende kwa yule aliyefaulu. Huyo atakupa mbinu mbalimbali ili ufaulu. Sio kwenda kwa aliyefeli. Huyo atakukatisha tamaa na hutafikia malengo yako.
Kuhusu kurisiti physics, mimi sikushauri kwa sasa. Fikiri kama utajaribu kuitafuta hiyo 'pass' kwa miaka miwili, bahati mbaya ukaikosa! Utakua umepoteza muda zaidi.
Mimi naona ungetumia fursa uliyoipata kwa sasa, ili ikusaidie kukamilisha ndoto zako kwa urahisi hapo baadae.
Kama unaona kozi uliyochaguliwa kwa sasa hailipi, ukifika chuo uchague kozi nyingine!
Epuka kuwa mzigo wa kudumu kwa familia yako!
 
Back
Top Bottom