Nahitaji namba za NMB customer service au za wakubwa wowote HQ kuna Manager

Mzawa_G

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
669
Reaction score
1,475
Nilipata msiba wa Baba yangu ambae alikuwa mstaafu na mteja mkubwa wa NMB
Kuna manager wa Tawi moja la NMB naona kabisa analeta habari za kitapeli kwenye Hela za pole (FARAJA )ambazo utolewa pale mteja wao anapofariki ..
 
Nikipata msiba wa Baba yangu ambae alikuwa mstaafu na mteja mkubwa wa NMB
Kuna manager wa Tawi moja la NMB naona kabisa analeta habari za kitapeli kwenye Hela za pole ambazo utolewa pale mteja wao anapofariki ..

Contact zote za NMB hizo hapo.
Niliwahi kuwachezesha na deni la mkopo wa marehemu ambae mkopo ulikua na bima hawakuamini. Pesa waliitoa shenzi zao.
 
Nadhani pia nahitaj msaada Zaid kwa uzoefu wako
Nakusubir PM mkuu [emoji120]
 
Nikipata msiba wa Baba yangu ambae alikuwa mstaafu na mteja mkubwa wa NMB
Kuna manager wa Tawi moja la NMB naona kabisa analeta habari za kitapeli kwenye Hela za pole ambazo utolewa pale mteja wao anapofariki ..
Naomba kuuliza.
Ni wateja gani hupewa pole ya msiba?
 
akikwambia nitag mkuu ili kama ni kweli mbwa wngu leo lazma nimtandike shaba usiku asubuhi ikifika niandike barua wanipe mpunga wangu
Hela ya pole Kaka cdhan kam inazid milion 5 [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unahitaji au unaomba?


Wakati mwingine jifunze kuomba.
Yes pengine umesaidika lkni kama shida ni yako uwe unaomba [emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Nadhan ungepita hvi kam huna unachojua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…