Nahitaji NGO ya kushirikiana nayo miradi ya maswala ya afya

Nahitaji NGO ya kushirikiana nayo miradi ya maswala ya afya

mrico

Senior Member
Joined
Mar 29, 2013
Posts
173
Reaction score
97
Habari JF,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mradi wa afya umebuniwa na kampuni ya kitanzania, ila utekelezaji wake ni lazima upitie shirika au asasi ya kijamii.

Hivyo naomba mtu anayemiliki NGO au anafanya kazi kwenye NGO au ni mjumbe wa NGO au una mahusiano na NGO yoyote, inayoweza kufanya kazi ngazi ya mkoa au nchi nzima, Naomba tuwasiliane tuongee.

Asasi inayohitajika ni kutoka mkoa wowote, maana mradi huu unatazamiwa kupelekwa mikoa yote ndani ya Tanzania.

Karibuni inbox/pm.
 
Habari jf,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kuna mradi wa afya umebuniwa na kampuni ya kitanzania, ila utekelezaji wake ni lazima upitie shirika au asasi ya kijamii, hivyo naomba mtu anayemiliki NGO au anafanya kazi kwenye NGO au ni mjumbe wa NGO au una mahusiano na NGO yoyote, inayoweza kufanya kazi ngazi ya mkoa au nchi nzima, Naomba tuwasiliane tuongee. Asasi inayohitajika ni kutoka mkoa wowote, maana mradi huu unatazamiwa kupelekwa mikoa yote ndani ya Tanzania.
Karibuni inbox/pm.
ingia website ya MDH PROGRAM utazipata contacts zao kisha wasiliana nao hao wanashughulika mambo ya afya
 
Back
Top Bottom