Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una dhamana gani MkuuHabari ndugu zangu,
Nahitaji gari aina ya Noah ya mkataba wa mauziano usiopungua miezi 6 yenye hali nzuri na iwe yenye namba kuanzia B au C na isizidi milioni 6 miezi ya mkataba ukiisha ndipo nakabidhiwa hatimiliki za gari.
Naombeni msaada kwa hili.
Asanteni.
Tulishawahi kumpa.Noah kwa mkataba mdau mmoja,sina dhamana ndugu ila haya ni makubaliano yatakayo fata taratibu zote za kisheria
Tulishawahi kumpa.Noah kwa mkataba mdau mmoja,
Tulifata taratibu zote mpaka kwa Mwana sheria,
Mkataba haukukamilika kua alishindwa mkataba na akairudisha Gari iko ovyo Sana
Kisha akalala mbele,
Tulibakiwa na copy za mikataba tu zenye muhuri wa mwanasheria
Ni hivyo tu mpaka leo
Ila kungekuwa na kitu cha dhamana, angekuwa serios kidogo,
Maana aliona hana cha kupoteza kwa upande wake
ni kweli ndugu wengi wanachukua kitu bila kwanza kupanga mikakati thabiti ya kuweza kurudisha pesa wanacho angalia ni biashara ya mda mfupi ya nyakati hizo,ila kwa mimi mpaka nimeomba gari ni kwamba nishajua nini naenda kufanya na kazi zangu sio za kuchosha gari ni luxury kama hntel,o3isi au shule baby care na huwa naingia nao makubaliano kwahiyo najua nini nafanya na mkataba wangu na mwenye gari huwa haumuumizi mwenye gari wala mimi pesa nakuwa naingiza kwenyf akaunti kila wiki au mwezi na huwa kwenye mkataba husika kuna kuwa hakuna kipengele cha kurudishwa gari bovu au pesa kurudishwa kwangu kama nitarudisha basi gari irudi kama nilivyo chukua na pesa niliotoa kwa miezi husika haitarudi itafidia usumbufu na kukiuka makubaliano ya mkataba..........mpaka nimethubu kujitoa nakutaka kuingia makubaliano ambayo najua yanaweza nigharimu ni kwamba nimejipanga na najua nini nitafanya kuhakikisha sipati damage yoyote ndugu yangu ni muaminifu sna na najituma na kuthubutu.Tulishawahi kumpa.Noah kwa mkataba mdau mmoja,
Tulifata taratibu zote mpaka kwa Mwana sheria,
Mkataba haukukamilika kua alishindwa mkataba na akairudisha Gari iko ovyo Sana
Kisha akalala mbele,
Tulibakiwa na copy za mikataba tu zenye muhuri wa mwanasheria,
Ni hivyo tu mpaka leo
Ila kungekuwa na kitu cha dhamana, angekuwa serios kidogo,
Maana aliona hana cha kupoteza kwa upande wake
Habari ndugu zangu,
Nahitaji gari aina ya Noah ya mkataba wa mauziano usiopungua miezi 6 yenye hali nzuri na iwe yenye namba kuanzia B au C na isizidi milioni 6 miezi ya mkataba ukiisha ndipo nakabidhiwa hatimiliki za gari.
Naombeni msaada kwa hili.
Asanteni.