Nahitaji nyumba ya kupanga haraka Dar

Nahitaji nyumba ya kupanga haraka Dar

abudist

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2009
Posts
850
Reaction score
781
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Temeke, Mbagala, Tuangoma nk.. Iwe na vyumba 3 au zaidi iwe nzima au upande wa kujitegemea, iwe na maji na umeme na karibu na barabara na huduma za kijamii. Iwe nzuri na ya kisasa. Napenda iwe japo na master bedroom. Naweza kufikiria maeneo mengine pia... Bajeti yangu Shs 150,000 kwa mwezi.
 
150000 kwa mwezi...apo utapata uswahilini labda
 
Hajasema anatka uzunguni. Mpeni anachokitaka mbona zipo kibao tu nyumba za 150k tena maeneo mazuri tu. Kama we hauna pita kushoto atapata kwa mwengine.
 
Back
Top Bottom