Salaam wana Jamii Forums
Nina uhitaji sana wa nyumba ya kupanga
Eneo la Uzunguni, Kisiwani, Vjibweni
Vyumba viwili na sitting room kimoja au vyote viwe Master
iwe ndani ya uzio
Kuwepo na Maji na umeme
Umbali kutka barabarani usizidi 1 kilometer
Bajeti yangu ni laki 2 kwa mwezi fungu nimetenge la miezi sita
Nitasukuru kwa msaada wenu
Asante
Sam
+255742550551
+255764777719
Nina uhitaji sana wa nyumba ya kupanga
Eneo la Uzunguni, Kisiwani, Vjibweni
Vyumba viwili na sitting room kimoja au vyote viwe Master
iwe ndani ya uzio
Kuwepo na Maji na umeme
Umbali kutka barabarani usizidi 1 kilometer
Bajeti yangu ni laki 2 kwa mwezi fungu nimetenge la miezi sita
Nitasukuru kwa msaada wenu
Asante
Sam
+255742550551
+255764777719