Nahitaji Oven ya Kuokea mikate ya Meza ya Bwana.

Nahitaji Oven ya Kuokea mikate ya Meza ya Bwana.

Joined
Apr 5, 2024
Posts
81
Reaction score
117
Habari wanaJF,
Nimekuja kwenu na ombi. Kama kuna mfanyabiashara wa OVEN hapa naomba tuonane. Cha msingi, nahitaji kukitumia kanisani. Iweze kutumia gesi na umeme. Plate 2 au 3. Naomba uniandikie. Whatsapp ni 0748707707
 
Back
Top Bottom