nahitaji packaging machine ya kukodisha

nahitaji packaging machine ya kukodisha

LORIN

Member
Joined
Jul 5, 2012
Posts
51
Reaction score
23
Wana jf mimi ni mjasiriamali nahitaji mashine ya kupak na kufunga (silling and packing machine) ya kukodisha ama used hapa tanzania. Yenye uwezo wa kupaki kuanzia gram 5 had gram 200 (powder). kwa anaejua nitaipataje/ kwa nani naomba msaada kwa hili.
 
unapaki heroin nn mkuu!! mbona kiduchu sana!!
 
Back
Top Bottom