Nimechimba bwawa tatu kubwa na ndogo moja maeneo ya Ruvu, nimezungushia fensi ya mabati, nyumba ya kuishi ipo na mfanyakazi tayari yupo ikiwa pamoja na miundombinu mingine iko poa mfano pampu za maji.
Nahitaji mdau mwenye nia ya dhati asapoti kwenye ununuzi wa vifaranga na tusaidiane kwenye chakula. Anayewiwa tukutane PM.
Nahitaji mdau mwenye nia ya dhati asapoti kwenye ununuzi wa vifaranga na tusaidiane kwenye chakula. Anayewiwa tukutane PM.