Umekimbia?Nimechimba bwawa tatu kubwa na ndogo moja maeneo ya Ruvu, nimezungushia fensi ya mabati, nyumba ya kuishi ipo na mfanyakazi tayari yupo ikiwa pamoja na miundombinu mingine iko poa mfano pampu za maji.
Nahitaji mdau mwenye nia ya dhati asapoti kwenye ununuzi wa vifaranga na tusaidiane kwenye chakula. Anayewiwa tukutane PM.
Hapana nimesha pata mdau wa kushirikiana naye.Umekimbia?
SafiHapana nimesha pata mdau wa kushirikiana naye.
Ni njia zipi hizo?Hivi kwann mnapenda vitu vyakushirikiana shirikiana?
mbona zipo njia nyingi tu za kupata hela ukatmiza project yako?
Nipe hizo njia mkuu.Hivi kwann mnapenda vitu vyakushirikiana shirikiana?
mbona zipo njia nyingi tu za kupata hela ukatmiza project yako?
umeshapata mtu mkuu,focus on your project dear one.Nipe hizo njia mkuu.
Kwanini usishushe hizo nondo kwa faida ya wanajamii forum wote.umeshapata mtu mkuu,focus on your project dear one.
Kila kitu kina muda wake mkuu,mimi wala sio m'binafsi.Kwanini usishushe hizo nondo kwa faida ya wanajamii forum wote.
Nitakuja pm unipe shule, napenda kujifunza, kama unanikaribisha pm sema amina.Kila kitu kina muda wake mkuu,mimi wala sio m'binafsi.
Kweli huna noma.Aminaaaa [emoji23]
Wewe umekataa kutuma tu picha za bwawa tujifunze ila unalilia upewe shule ya kupata financial support. Wabongo shida sana[emoji3][emoji3][emoji3]Nitakuja pm unipe shule, napenda kujifunza, kama unanikaribisha pm sema amina.
Ndugu ukitaka kufanikiwa katika ufugaji wowote ule kwanza usiwe na pupa,pili usianze kuwekeza pesa nyingi.Fanya shughuli zako zinazokuingizia kipato huo ufugaji uwe kama sehemu ya kupotezea muda unapokuwa huru na majukumu mengine.Nimechimba bwawa tatu kubwa na ndogo moja maeneo ya Ruvu, nimezungushia fensi ya mabati, nyumba ya kuishi ipo na mfanyakazi tayari yupo ikiwa pamoja na miundombinu mingine iko poa mfano pampu za maji.
Nahitaji mdau mwenye nia ya dhati asapoti kwenye ununuzi wa vifaranga na tusaidiane kwenye chakula. Anayewiwa tukutane PM.
Nashukuru kwa kunipa moyo mkuuNdugu ukitaka kufanikiwa katika ufugaji wowote ule kwanza usiwe na pupa,pili usianze kuwekeza pesa nyingi.Fanya shughuli zako zinazokuingizia kipato huo ufugaji uwe kama sehemu ya kupotezea muda unapokuwa huru na majukumu mengine.
Ungeanza na bwawa moja tu na kununua vifaranga taratibu taratibu.Hakika utafanikiwa na hautapata hasara ya kukukatisha tamaa.
Sehemu ya kupotezea muda? Ndio maana waafrika tupo nyuma kimaendeleo by 1000 nautical miles!! Unaanzisha mradi afu unaufanya sehemu ya kupotezea muda.Ndugu ukitaka kufanikiwa katika ufugaji wowote ule kwanza usiwe na pupa,pili usianze kuwekeza pesa nyingi.Fanya shughuli zako zinazokuingizia kipato huo ufugaji uwe kama sehemu ya kupotezea muda unapokuwa huru na majukumu mengine.
Ungeanza na bwawa moja tu na kununua vifaranga taratibu taratibu.Hakika utafanikiwa na hautapata hasara ya kukukatisha tamaa.