wasiliana nao, wakupe na elimu pia ya ufugajiWakuu mada tajwa hapo yahusika,
Nahitaji kupata mbegu bora kwa ajili ya ufugaji, nikisema mbegu bora kwa mfugaji anaelewa. ingependeza hasa kwa alienao maeneo ya kanda ya Kati. Nipigie kwa 0689464641tufanye biashara.
Sidhan kama atakuuzia manake anafuga anachinja na kuuza mwenyewe,Mkuu ninahitaji sana hiyo mbegu ndefu. Niunganishe na mzee tafadhali.
Habari mkuu, hawa masister wa kihonda wanaofuga Nguruwe nawezaje kupata mawasiliano yao. Kama una accses hiyo naomba unifanyie wepesi