kiranja jona
Member
- Jun 5, 2014
- 16
- 2
Mimi ni mkulima hapa Dodoma sehem ninahitaji pikipik ya kuhimili milima na makorongo makubwa yenye mchanga kwa ajili y kutembelea mashamba yangu.
napendelea aina zufuatazo za pikpik
baja 250, kawasaki250, ama yamaha td
je hizi piki pik nazipataje za mtumba na zina range kwa bei gan
na kuna kampuni inayo agiza kutka nje
naahukuru kwa mchango wnu
napendelea aina zufuatazo za pikpik
baja 250, kawasaki250, ama yamaha td
je hizi piki pik nazipataje za mtumba na zina range kwa bei gan
na kuna kampuni inayo agiza kutka nje
naahukuru kwa mchango wnu