Samedi Amba LLC
Member
- Apr 5, 2024
- 81
- 117
Habari wanaJF,
Natumaini mnaendelea vizuri. Leo nimekuja kibiashara zaidi.
Kuna tenda mezani. Zinahitajika:
Kama unafanya biashara ya pumba na mashudu, naomba kufanya biashara na wewe,
Namna ya Kuwasiliana:
Dili ni ya kweli kabisa. Karibu tufanye biashara.
Natumaini mnaendelea vizuri. Leo nimekuja kibiashara zaidi.
Kuna tenda mezani. Zinahitajika:
- Pumba za Mahindi (Tani 74)
- Mashudu ya Alizeti (Tani 22)
Kama unafanya biashara ya pumba na mashudu, naomba kufanya biashara na wewe,
- Utaniambia unakopatikana.
- Unaweza kupata nini ka kwa bei ipi.
- Uwe tayari kuniuzia kwa bei ya Jumla, maana na mimi natafuta cha juu.
- Uje na bei yako ya Jumla kabisa (naamini wewe ni muuzaji ambaye tayari unafahamu bei ya vitu).
- Bidhaa uliyo nayo iwe na viwango vya juu. Pumba ziwe zimekauka vizuri, na zisiwe zimevunda. Mashudu pia yawe na quality.
Namna ya Kuwasiliana:
- Niandikie SMS/WhatsApp +255742308110
- Usiandike inbox ya JF, maana huwa nakuja hapa mara moja kwa siku. WA/SMS itafaa.
Dili ni ya kweli kabisa. Karibu tufanye biashara.