Nahitaji Rafiki ambaye tukiridhiana tutaendelea na hatua zingine

Nahitaji Rafiki ambaye tukiridhiana tutaendelea na hatua zingine

Ushaumaliza mwendo unatafuta wa kula nae pension kila lakheri mimi uminikosa, ukitaka njoo mwenyewe PM kwangu ila PM kwako siji maana wewe ndio mwenye shida ya kusuguliwa kiarage,
 
Jina langu phoibe ni Mtumishi wa umma sijawahi kuolewa na sina mtoto nahitaji rafiki wa kiume kuanzia miaka 36 -48. Sitaki urafiki na mume wa mtu plz ukijijua una mke usini dm.Jumapili njema.
Jina la demu wangu wa kwa daaah alichonifanyaa duuuh,
 
January nafikisha 50 bado sijaoa vipi, upo serious tuwe washkaji ?
 
Jina langu phoibe ni Mtumishi wa umma sijawahi kuolewa na sina mtoto nahitaji rafiki wa kiume kuanzia miaka 36 -48. Sitaki urafiki na mume wa mtu plz ukijijua una mke usini dm.Jumapili njema.
Hapa ndani kila mtu ana mtu wake hapa hapa ndani.
 
Back
Top Bottom