Nahitaji rafiki mwalimu!!!

Nahitaji rafiki mwalimu!!!

Man Ngosha

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2012
Posts
219
Reaction score
69
Habari zenu wadau,
Nahitaji kuwa na urafiki na mwalimu wa kike,itapendeza kama atakuwa Dodoma!Mi ni graduate,naishi hapa Dodoma!kwa aliye tayari anipm
 
Mwalimu wa ngazi gani? vidudu, primary, secondary, chuo au? maelezo yako hayajitoshelezi! ongeza ongeza watakuja
 
elimu kuanzia diploma,umri 21- 24,mrefu kidogo,rangi yake maji ya kunde,mkristo na mwenye mwelekeo wa maisha!She must be in Dodoma!hapo vp KUN?Niko serious walimu,aliyetayari aniPM tafadhari
 
elimu kuanzia diploma,umri 21- 24,mrefu kidogo,rangi yake maji ya kunde,mkristo na mwenye mwelekeo wa maisha!She must be in Dodoma!hapo vp KUN?Niko serious walimu,aliyetayari aniPM tafadhari

We unahitaji mwalimu au kunakingine unataka kutoka kwa huyo mwalimu.
Mbona sifa zinazohitajika nyingine hazihusiani na mahitaj ya mwalimu.
 
Back
Top Bottom