@Demiss nakutafutaUngetaja sifa zakoo
Wapiii@Demiss nakutafuta
Unachokitaka utakipata-KutapeliwaZa mda huu Wadau wa jf.
Niko mwanza Nina miaka kati ya 28 hadi 32
Ninahita mtu(mwanamke) ambaye anamaanisha kama nilivyoandika hapo juu
. Siamini katika kuandika mamho mengi hapa ila kwa atakayekuwa tayari sio mbaya tukaanza mawasiliano na kuona namna ya kuboresha mawasiliano
0784049216
Huyu Demiss kama hajaolewa, basi hataolewa maake ni muda mrefu sana tangu nimeanza kusikia kutafutwa kwake, kila kona anasakwa.Wapiii
Rafiki kwa nini umewahi hapa wa kwanza wakati wewe ni mke wa mtu?!Ungetaja sifa zakoo
Natafutwa wapi tenaHuyu Demiss kama hajaolewa, basi hataolewa maake ni muda mrefu sana tangu nimeanza kusikia kutafutwa kwake, kila kona anasakwa.
Demiss popote ulipo kama hujaolewa tafadhali naomba uolewe haraka, unawatesa vijana, na uwaeleze kabsa kuwa sasa, kuna jamaa anakamatia.
Kila kona ya mji wa Dsm.Natafutwa wapi tena
Mke tena kwani ujapata tuZa mda huu Wadau wa jf.
Niko mwanza Nina miaka kati ya 28 hadi 32
Ninahita mtu(mwanamke) ambaye anamaanisha kama nilivyoandika hapo juu
. Siamini katika kuandika mamho mengi hapa ila kwa atakayekuwa tayari sio mbaya tukaanza mawasiliano na kuona namna ya kuboresha mawasiliano
0784049216
Za mda huu Wadau wa jf.
Niko mwanza Nina miaka kati ya 28 hadi 32
Ninahita mtu(mwanamke) ambaye anamaanisha kama nilivyoandika hapo juu
. Siamini katika kuandika mamho mengi hapa ila kwa atakayekuwa tayari sio mbaya tukaanza mawasiliano na kuona namna ya kuboresha mawasiliano
0784049216
Mungu ni mwema! Utapata chaguo sahihi!Za mda huu Wadau wa jf.
Niko mwanza Nina miaka kati ya 28 hadi 32
Ninahita mtu(mwanamke) ambaye anamaanisha kama nilivyoandika hapo juu
. Siamini katika kuandika mamho mengi hapa ila kwa atakayekuwa tayari sio mbaya tukaanza mawasiliano na kuona namna ya kuboresha mawasiliano
0784049216