nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 655
- 526
- Thread starter
-
- #41
Hamna,kawaida tu is not that seriousVery ina maana kubwa sana hapo,msikurupuke,ukikosea kitu tu anakwambia nilisema VERY kwenye bango langu,pia katia msisitizo kuwa yeye ni black beauty ingawa ni mwanaume na hataki mumtukane...
Anatafuta girlfriend siyo wifeKama unasali mshirikishe mchungaji muingie kwenye maombi maalum utampata mke mwema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rangi yangu ni nyeusi...nyeusi ni rangi nzuri,so naamini black is beauty
by emma mjasiriamali
Hapo umenichanga, wewe ni black beauty, halafu unatafuta girlfriend.!!!Nahitaji rafiki wa kike,hii inaweza isilete maana nzuri kwamba pengine sipo serious,ila kuna wakati unajikuta hauna neno jingine la kusema zaidi ya hilo...
And this is very serious,Tangu nimekorofishana na x-girl nimejikuta nimekuwa mzito sana kuwa na urafiki ma wanawake,imepelekea kusahau how to communicate with them...i need a girlfriend now than ever,and i promise to be very good friend because deep inside i know i have true love...i kept that for true one,Anyone with real heart may follow me to PM(private message).
Usinijudge vibaya,haya ni maisha yangu,na huu ni uamuzi wangu....onyo kwa wenye mapovu "usiniponde maana una maisha yako na mimi nina maisha yangu,we dont share anything"
Cha kuongezea mimi ni mrefu,blackbeauty na nina mwili...average body.your welcome
Kwanini unasema haikuwa bahati yakosuper! yaan ningekuwa nakula cake jaman navyopenda keki [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] mie walah bahat haikuwa yangu...asalaale
Atleast u see thathakika rang nzur sana hii
Ndio X mwenyewendo huyo mamake umeachana nae au?
Umefurahia nini!?Nimefurahi😉
Haswaaa
ThreadUmefurahia nini!?
Mbona nimesema kaka,black beauty means beautiful black colour kaka....mimi ni wa kiumeHapo umenichanga, wewe ni black beauty, halafu unatafuta girlfriend.!!!
Labda tuweke sawa, black beauty ni mwanamke au mwanamme
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh nini tena
Cant u be part of good girl friendKila la kheri
Mpana weweee [emoji1][emoji23][emoji23]haya changamkia fursa hiyoKila la kheri
Kawaida...all the way to moving onDuh mbn pole!