SHEDEDE
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 339
- 551
Atakayeweka ramani nzuri nitamtaka anipe namba yake nimtumie laki anipe ramani kamili yenye vipimo nianze ujenzi.
Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko na sebule. DESIGN yake iwe simple ili nitumie gharama kidogo.
Atakayeweka na makisio ya gharama atapewa kipaumbele.
Nina 15m nataka kujenga angalu nifike 75%.
Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko na sebule. DESIGN yake iwe simple ili nitumie gharama kidogo.
Atakayeweka na makisio ya gharama atapewa kipaumbele.
Nina 15m nataka kujenga angalu nifike 75%.