ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
atakwambia aje na wasaidizi wake...uwalipie gharama zao za kuishi Dar....pima mwenyeweSasa kama ni hivo kwanini nisiende mkoani nikaja na fundi wangu wa bei ya 1.5 kuliko wa hapa dar bei ghali?
We namtaka yeye kama yeye[emoji848]atakwambia aje na wasaidizi wake...uwalipie gharama zao za kuishi Dar....pima mwenyewe
naomba sampl yake nimegundua ni upauaji low cost nyumba nying maeneo ya masak na osyserbay wamepiga migongo ya tembo kwa vigaePiga tuu Mgongo wa Tembo mkuu ni very low cost.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
naomba sampl yake nimegundua ni upauaji low cost nyumba nying maeneo ya masak na osyserbay wamepiga migongo ya tembo kwa vigae
Tatizo ni budget. Kama mtu angekuwa na pesa, angeajiri tu contractor akamaliza kazi.
Tatizo la vijana wengi wachora ramani, hawana maajabu halafu gharama kubwa.
Ukilinganisha na budget ya nyumba yenyewe.Gharama kubwa unaipimaje mkuu?
We jamaa umesoma vizr na kuelewa au umerukia kucomment??Yaani unataka ujenge kwa million kumi na tano sasa ramani si utataka kwa elfu 50
😅 Sio tu hawana maajabu ni wapumbavu, ukiwashauri wanaleta ubishi kama vile hiyo nyumba wataishi wao... Mimi sijawah nunua Ramani kwao, naingia Google natafuta website ya PINTERIST nina download ramani niipendayo yenye vipimo na makadirio ya materials...Tatizo ni budget. Kama mtu angekuwa na pesa, angeajiri tu contractor akamaliza kazi.
Tatizo la vijana wengi wachora ramani, hawana maajabu halafu gharama kubwa.
Pinsterest ndio wapi huko mkuu?😅 Sio tu hawana maajabu ni wapumbavu, ukiwashauri wanaleta ubishi kama vile hiyo nyumba wataishi wao... Mimi sijawah nunua Ramani kwao, naingia Google natafuta website ya PINTERIST nina download ramani niipendayo yenye vipimo na makadirio ya materials...
Pinsterest ndio wapi huko mkuu?
Hizi ramani zake ukiprint unapeleka kupitisha tuu ama inabidi wakuchoree tena?
hata ukienda na ramani aliyokuchorea Architecture wa Kariakoo au Morogoro, still ukipeleka ofisi za Ardhi wilaya uliyopo watakuletea uswahili utoe pesa... Mimi huwa naenda nawapa 250K wananipa ramani yao waliyoiokota wanapojua wao wanagonga mihuri na wananipa building permit, ila nikirudi site kwangu najenga kwa ramani niliyoitafuta mimi sio ya kwao...Hizi ramani zake ukiprint unapeleka kupitisha tuu ama inabidi wakuchoree tena?
Hii ndio akili yenyewe. So hapo nijiandae na laki ngapi kukamilishi hiyo process ya kupitisha ramani na kupata building permit?hata ukienda na ramani aliyokuchorea Architecture wa Kariakoo au Morogoro, still ukipeleka ofisi za Ardhi wilaya uliyopo watakuletea uswahili utoe pesa... Mimi huwa naenda nawapa 250K wananipa ramani yao waliyoiokota wanapojua wao wanagonga mihuri na wananipa building permit, ila nikirudi site kwangu najenga kwa ramani niliyoitafuta mimi sio ya kwao...
Haizidi 300,000 ndani ya siku 3 au wiki anakukabidhi kilakitu ukaanze ujenzi...Hii ndio akili yenyewe. So hapo nijiandae na laki ngapi kukamilishi hiyo process ya kupitisha ramani na kupata building permit?
Kama hujapata ramani mpk sasa nicheki DM ninayo niliyotumia kujenga yangu. Gharama zote nilizotumia ziko documentedAtakayeweka ramani nzuri nitamtaka anipe namba yake nimtumie laki anipe ramani kamili yenye vipimo nianze ujenzi.
Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko na sebule. DESIGN yake iwe simple ili nitumie gharama kidogo.
Atakayeweka na makisio ya gharama atapewa kipaumbele.
Nina 15m nataka kujenga angalu nifike 75%.
Mzeya naomba unitumie dm hiyo ramani na gharama zakeKama hujapata ramani mpk sasa nicheki DM ninayo niliyotumia kujenga yangu. Gharama zote nilizotumia ziko documented
Ana wake 2 wote wataishi nyumba hiyo hiyo!Huwezi kuwa na vyumba viwili master’s bedroom in the same house. Sema master’s bedroom na ensuite moja.