Mkudisingo
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 421
- 122
Ni kuhusu hili swala la chuo na advanc... mm nataka kwenda chuo na nimepata dvshn three nikiw na CCC masomo sayanc japo wazaz wangu mm hawataki nende(hawajakataa kabisa yani hawapendi tuu eti shortcut ) ...mm napenda mambo ya udactar yani nina interest huko nimeaply tayar vyuo nacte na private lakn na mm sasa nachanganyikiwa maana watu wengine wanasema kwenda chuo cjui itakucost baadae cjui utakuw huna heshima ya advanc mala oo utakuwa na wigo mdogo sjui serikali itawatenga kwasabab sijui hamna A level kichwani halafu ukiulizwa chet cha six kikwap utatoa nn yan mambo mengi ambayo yanakatisha tamaa ya chuo...hivi kwann tusiwe kama wazungu kumsomesha mtt tangu mdg fani yake yani kwamfano ukipata elimu msingi uende pahala husika... (huko advanc PCB huwa wanaondoka makwao tukunyema wanarud njiti ) ...kiukwl mm naona huko advanc sitaweza msuli wa PCB nimechunguza topics zao mmh naona kdg kuko taf ukizingatia mm msuliwangu wa olevel haukuw mzur sana halaf yale mambo yanataka msingi mzur kwahiyo najiogopea!!japo najua sitopata zero ila nitaishia ualimu(" kama wale maticha wa mchikichini ni majembe lakn wanakula chaki je mm sasa" ) na ndoto za muhimbil zitakuw zmeishia hpo ! kuepuka hayo nimeona nende tu diploma ya clinical medcine (""sisemi kule ndio mambo mepesi ila tu kule hamna necta halafu ajira hukosi ")... sasa hapa ndo penye point sasa napo htaj mm kujuwa ni kwamba naomben muniambie ni kwel kwamba usipoenda advance kuna hayo mambo ya kutopew thaman kama mtu hujaenda advanc("na serikal hata watu ") wakati wote mnadegree ila tu kilamtu na njia yake ningependa ajitokeze mtu asemee from experience kwamba bwana dogo iko hiv na hiv.hakwnd a level na akakosa heshma na huo wigo mdogo ulimbana wap akakosa nn na mambo kama hayo ... samahan kwa mahubiri marefu ila m mdogowenu nipo ktk kpind kigumu maana ndio nafanya maamuzi ya maisha yangu ya mbele Asanteni nyote ..nahitaji sana busara zenu kaka na dada zangu nyie c ndio grit thinkarz hebu munipruvie !!