Nahitaji sana kuwa na mke ila nahofia kipato changu

Nahitaji sana kuwa na mke ila nahofia kipato changu

Mayala B

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2019
Posts
2,109
Reaction score
5,284
Nina miaka 27 ni mkazi wa dodoma kabila langu ni msukuma

Nahitaji sana kuwa na mke sema nahofia sana kipato changu kidogo

Nina biashara mbili za nguo kila biashara moja inaniingiza mapato ya laki moja kwa siku hapo faida inakuwa kama elf 50 hivi kwenye hiyo faida nikitoa matumizi yangu na ya mfanyakazi wangu nabakiwa kama elf 20 hivi

Je hiyo pesa itatosha kweli kumtunza mke? Au nitapuyanga tu, lakin nataman sana kuoa

Naomben ushaul wenu na kama yupo mdada aliye tayali kuolewa bas anaipm yaan aje Inbox tuongee vizur

Nb sinywagi pombe hata huyo mdada naye asiwe mlevi

Asanten
 
maadam umetaja pesa, subiri waje kwa wingi uko piiemu
 
Kwani si mnapeanaga connection maana kila kona nyeti mpo vipi kwako hujaonekana?
 
Kila siku unapata laki haishuki au kupanda?
 
Kwa siku unapata 100k alafu faida ni 50% af unauza nguo aisee!!

TRA njoon huku mpige dili...ila dingiree umetupiga kudu!!
 
Ukioa matumizi yako ndio ya mkeo ,
Hapo bilashaka kinachokosti ni chakula ,ukioa mkeo atapika chakula nyumbani na kuwaleteeni kazini.

Option ya pili umesema una biashara mbili moja kaa wewe nyingine mkeo hapo hela ya mfanyakaz inakuwa haipo.
 
Kuoa ni utayari wa moyo. Kama moyo wako upo tayari kuoa basi oa. Tafuta mtu atakae kukubali wewe na sio level ya kipato chako wala uzuri wako.

What if siku moja biashara ikafa. Ukawa huna kipato itakuwaje??
 
Hatuozeshi mwanaume asiyejiamini, tulia kwanza ukiwa tayar useme tukupatie mke.
 
Kuoa ni utayari wa moyo. Kama moyo wako upo tayari kuoa basi oa. Tafuta mtu atakae kukubali wewe na sio level ya kipato chako wala uzuri wako.

What if siku moja biashara ikafa. Ukawa huna kipato itakuwaje??
Dada zetu wachache wana kubali mtu alivyo
 
Ukioa matumizi yako ndio ya mkeo ,
Hapo bilashaka kinachokosti ni chakula ,ukioa mkeo atapika chakula nyumbani na kuwaleteeni kazini.

Option ya pili umesema una biashara mbili moja kaa wewe nyingine mkeo hapo hela ya mfanyakaz inakuwa haipo.
Sure
 
Umeolewa mama, najitafutia mke mwenye akili km yako serious njoo pm
Ukioa matumizi yako ndio ya mkeo ,
Hapo bilashaka kinachokosti ni chakula ,ukioa mkeo atapika chakula nyumbani na kuwaleteeni kazini.

Option ya pili umesema una biashara mbili moja kaa wewe nyingine mkeo hapo hela ya mfanyakaz inakuwa haipo.
 
Nina miaka 27 ni mkazi wa dodoma kabila langu ni msukuma

Nahitaji sana kuwa na mke sema nahofia sana kipato changu kidogo

Nina biashara mbili za nguo kila biashara moja inaniingiza mapato ya laki moja kwa siku hapo faida inakuwa kama elf 50 hivi kwenye hiyo faida nikitoa matumizi yangu na ya mfanyakazi wangu nabakiwa kama elf 20 hivi

Je hiyo pesa itatosha kweli kumtunza mke? Au nitapuyanga tu, lakin nataman sana kuoa

Naomben ushaul wenu na kama yupo mdada aliye tayali kuolewa bas anaipm yaan aje Inbox tuongee vizur

Nb sinywagi pombe hata huyo mdada naye asiwe mlevi

Asanten
KAMA HELA YAKO NI YA WASIWASI USIOE KWANZA ISEE LASIVYO UTAKUWA UMETUOLEA, WANAWAKE SIKU HIZI HAWANA MAANA KABISA ASIKUDANDANYE MTU,
 
mimi kuna mke wa mtu kaniganda hataki kuniachia kabisa,tena ananiambia wazi jamaa haupati siku hizi, ninakutengea wewe tu,lakini najua kisa ni jamaa yake alikuwa na hela saivi kafilisika. USHAURI KAMA HUNA KIPATO CHA SAWASAWA MSIOE JAMANI WAKE ZENU WANATUSUMBUA MTAANI HUKO.UNAFUGAJE KUKU WAKATI UWEZO WA PUMBA HUNA hahahaaaaaa
 
mimi kuna mke wa mtu kaniganda hataki kuniachia kabisa,tena ananiambia wazi jamaa haupati siku hizi, ninakutengea wewe tu,lakini najua kisa ni jamaa yake alikuwa na hela saivi kafilisika. USHAURI KAMA HUNA KIPATO CHA SAWASAWA MSIOE JAMANI WAKE ZENU WANATUSUMBUA MTAANI HUKO.UNAFUGAJE KUKU WAKATI UWEZO WA PUMBA HUNA hahahaaaaaa
Mkuu unawapa watu presha
 
Ukioa matumizi yako ndio ya mkeo ,
Hapo bilashaka kinachokosti ni chakula ,ukioa mkeo atapika chakula nyumbani na kuwaleteeni kazini.

Option ya pili umesema una biashara mbili moja kaa wewe nyingine mkeo hapo hela ya mfanyakaz inakuwa haipo.
aliyeajiriwa awe jobless?

na yeye atao lini?
 
Back
Top Bottom