Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Mkuu kwema.Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo juu, natafuta mtu ambayo tunaweza kuchanga vifaa tufungue ofisi ya game (playstation) mimi ntachangia tv 2 na cpu 1, na vifaa vngne vyote vya ndani ofsini vinavohitajika kwnye ofisi na yeye awe na ps4, ps3 na tv 1 ili tukapge pesa uko vijijini, ofisi location itakua ni CHALINZE, mabosi mje tukomboane kwenye hii absolutely poverty. NAMBA HZO 0782084694 KWASASA NPO DAR ES SALAAM
Nani atasimamia ?Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo juu, natafuta mtu ambayo tunaweza kuchanga vifaa tufungue ofisi ya game (playstation) mimi ntachangia tv 2 na cpu 1, na vifaa vngne vyote vya ndani ofsini vinavohitajika kwnye ofisi na yeye awe na ps4, ps3 na tv 1 ili tukapge pesa uko vijijini, ofisi location itakua ni CHALINZE, mabosi mje tukomboane kwenye hii absolutely poverty. NAMBA HZO 0782084694 KWASASA NPO DAR ES SALAAM
M mwnyewNani atasimamia ?
Ndo biashara ilvoUbia kwenye biashara isiyozidi mil 4 mtagombana tu.
Idea za Wabongo zinasikitisha mno, yaani haoa ndio akili zetu zimefikia tamati kwenye kuwaza, Mungu atusaidieWakuu kama kichwa kinavojieleza hapo juu, natafuta mtu ambayo tunaweza kuchanga vifaa tufungue ofisi ya game (playstation) mimi ntachangia tv 2 na cpu 1, na vifaa vngne vyote vya ndani ofsini vinavohitajika kwnye ofisi na yeye awe na ps4, ps3 na tv 1 ili tukapge pesa uko vijijini, ofisi location itakua ni CHALINZE, mabosi mje tukomboane kwenye hii absolutely poverty. NAMBA HZO 0782084694 KWASASA NPO DAR ES SALAAM
Acha upumbavu wewe. Maendeleo yanaletwa na shughuli ndogondogo nyingi sana.Idea za Wabongo zinasikitisha mno, yaani haoa ndio akili zetu zimefikia tamati kwenye kuwaza, Mungu atusaidie
Halafu wewe acha kujilegeza kijinga. Hiyo biashara ni ya mtaji mdogo sana kwahiyo komaa uanze mwenye hata na TV moja. Demand ikiwa kubwa ndo uombe mtu aje kuongeza mtaji muwe partners. Acha UZEMBE.Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo juu, natafuta mtu ambayo tunaweza kuchanga vifaa tufungue ofisi ya game (playstation) mimi ntachangia tv 2 na cpu 1, na vifaa vngne vyote vya ndani ofsini vinavohitajika kwnye ofisi na yeye awe na ps4, ps3 na tv 1 ili tukapge pesa uko vijijini, ofisi location itakua ni CHALINZE, mabosi mje tukomboane kwenye hii absolutely poverty. NAMBA HZO 0782084694 KWASASA NPO DAR ES SALAAM
Kwann mkuuHamna biashaaara ya kingese kama hii. Simahauri mtu mwenye akili timamu afungue