Unauhitaji wa kiasi gani?Arusha
Unanunuaje kwa kilogram??Wakuu habari. Nahitaji soya kwa wingi, hivyo yoyote anayejua upatinakaji wake tunaweza kufanya kazi
Mawasiliano: 0626532223
Weka Bei tafadhaliWakuu habari. Nahitaji soya kwa wingi, hivyo yoyote anayejua upatinakaji wake tunaweza kufanya kazi
Mawasiliano: 0626532223
Kuna zaidi ya Tami 500 ziko Uganda, kama utakosa TZ tuone possibility ya hukoNdio ndio
WanauzajeKuna zaidi ya Tami 500 ziko Uganda, kama utakosa TZ tuone possibility ya huko
Kuna mdau ngoja nikuchekieWakuu habari. Nahitaji soya kwa wingi, hivyo yoyote anayejua upatinakaji wake tunaweza kufanya kazi
Mawasiliano: 0626532223
Wewe ni tapeli haununui soya mbona unaogopa kutaja beiNdio ndio
Achana nae huyo mbabaishaji eti unampigia simu anakuambia uulizia kwanza kama zipo halafu tulete gari hahahaha... juzi tu zimesafirishwa hapa tani 23 za soya wamechukua wachina fulaniKuna mdau ngoja nikuchekie
Duh. Nahisi naweza kukupa connection na wakulima wa soya. Nitaku add kwenye groupWakuu habari. Nahitaji soya kwa wingi, hivyo yoyote anayejua upatinakaji wake tunaweza kufanya kazi
Mawasiliano: 0626532223
Duh. Nahisi naweza kukupa connection na wakulima wa soya. Nitaku add kwenye group