Nahitaji stock broker aliye Tanzania anayehusika na stocks za nje

Nahitaji stock broker aliye Tanzania anayehusika na stocks za nje

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Habari Wakuu. Nataka kununua shares za kampuni za nje kwa mtindo wa fractional shares (sliced shares). Naomba kama kuna broker aliye Tanzania anayeuza share za kampuni za nje ( primarily USA) tuwasiliane ili niweze kufungua akaunti kwenye brokerage yake. Cha msingi minimum deposit iwe chini na commission fees ziwe chini. Natanguliza shukrani.
 
Habari Wakuu. Nataka kununua shares za kampuni za nje kwa mtindo wa fractional shares (sliced shares). Naomba kama kuna broker aliye Tanzania anayeuza share za kampuni za nje ( primarily USA) tuwasiliane ili niweze kufungua akaunti kwenye brokerage yake. Cha msingi minimum deposit iwe chini na commission fees ziwe chini. Natanguliza shukrani.
Nilijaribu kufungua account na brokers wa USA lakini kwenye list ya documents wanazotakata ni proof of residency ambayo ni hizo utility bills. Mimi maji na umeme nalipia kwa simu so risiti hazina resident address. Wao hawaelewi😬
 
Asante mkuu. Unaweza kunitumia contacts zao? Mimi nipo Arusha
 
Back
Top Bottom